Hivi ndivyo nyumba zilivyo ungua
Na mwandishi wetu Geita
FAMILIA ya
Mganga wa tiba asilia
Maria Irigo (45)
mkazi wa mtaa wa
Majengo kitongoji cha
CCM kijiji na
Kata ya Lwamgasa
wilayani Geita mkoani
hapa haina mahali pakuishi baada
ya nyumba kumi na moja
za familia hiyo
kuteketezwa kwa moto
na kundi la watu (20)
wakiongozwa Burabo Mapalala
balozi wa nyumba kumi
mtaa wa majengo kitongoji cha
ccm kijiji na Kata
ya Lwamgasa kumi na
moja (11) za mganga
huyo wakimtuhumu
kuwa ni mchawi
.
Mwenyekiti wa
serikali ya kijiji
hicho Adam Mpipi
amesema kuwa tukio
hilo lilitokea majira ya
saa 4.00 usiku wa
kuamkia Agosti 01
mwaka huu baada ya
kundi la watu
hao kufika nyumbani
kwa mganga huyo
wakimtuhumu kuwa ni mchawi na
kuteketeza nyumba hizo
bila huruma.
Alisema kuwa
baada ya kupata
taarifa za kuwepo
kundi hilo ambalo liliandaliwa kwenda
kwa mganga huyo
niliamuwa kuwa siliana na mkuu
wa kituo cha
polisi Lwamgasa ambapo
askari waliwa hi kufika
eneo la na kufanikiwa
kumuokoa mganga huyo lakini kutokana na
uchache wao walishindwa
kuwa dhibiti watu ambao
walikuwa wamejipanga kumdhuru
mganga huyo .
Akisimulia tukio
hilo Mshindika
Bujilima (17) ambaye ni
mmoja wa watoto wa
Mganga huyo alisema
kuwa wakati kundi
la watu hao
walipofika nyumbani hapo wakiongozwa na balozi Burabo
pamoja na kijana
mmoja ambaye anatambulika
kwa jina la
Mashaka na waliaanza kupekuwa
kila nyumba wakimsaka
mganga huyo huku wengine
wa kiwa wamezingira nyumba mara
baada ya kumkosa
Mganga huyo waliamuwa
kuwa weka chini
ya Mshindika pamoja
na Dada yake
Halima Bujilima wakiwataka
wawaeleze mama yao alipo .
Aidha alisema
kuwa baada ya
kukaidi kuwaeleza Mama
yao alipo watu
hao walianza kuchoma
moto nyumba wakizidi
kuongezeka na kwamba
siku hiyo Mama
yao alikuwa amepandwa
na majini na
alikuwa hajitambui la
kini kutokana na
uwezo wa Mungu
ghafla alijitambuwa na
kunakufanikiwa kutoroka na
kisha kuokolewa na
polisi .
Aliongeza kuwa
mtu wa kwanza
kufika nyumbani kwao
siku hiyo muda
wa jioni alikuwa ni
Mashaka ambaye alikaa
hapo muda mrefu
kuanzia saa 12 jioni wakati
akiwa bado Mganga
amepandwa majini akataka
kumkamata Mganga alipo kaata
kumshika Masha alipiga
kelele na kuondoka na
kurudi akiwa na
kundi la watu hao.
,,Kwakweli watu
hao walikuwa wamekusudia
kumua Mama kama
wange mkuta mimi
wali ni kamata wakani piga wakani
weka chini ya
ulinzi ili ni waambie
mama alipo ni kawaambia
sifahamu alipo ni
kafanikiwa kuwatoroka ni
kamuacha Dada .
Bi Maria
amesema kuwa siku
hiyo alikuwa anaumwa
lakini aliji kuta
amefikishwa kituo cha
polisi Lwamgasa na
kwamba kabla ya
tukio hilo walikuwa
na mgogoro na
balozi huyo kwani siku
zilizopita ambao hata
hivyo walisuruhishwa lakini
cha kusikitisha balozi mwishoni
wa mwezi julai
alifanyamkutano na kuwa
tangazia wananchi kuwa
Mganga huyo ni
mchawi na kumuambia
matatizo yatakayo mpata
serikali wala nzengo
haita husika .
Kufuatia hali
hiyo Maria ameiomba
serikali kuingilia kati kumsaidi
pamoja mashirika ya
kutetea haki za
Binadamu /wanawake kwakuwa kitendo
hicho ni cha kinyama
Amesema kuwa
samani mbalimbali zimeteketea
ambazo ni TV , Redio moja
Baiskel s Akisimulia tukio hilo Mshindika Bujilima (17)
ambaye ni mmoja
wa watoto wa Mganga
huyo aba (7) Jenereta,
vitanda Vinne na
Magodoro, mabati tisini (90)
vyote kwa pamoja
vikiwa na thamani
ya shilingi milioni tatu (3).
Kaimu
ofisa mtendaji wa kata hiyo
Bw Erasto Majura
amethibitisha kuwepo kwa
tukio hilo na
kuongeza kuwa balozi
huyo katika tukio
hilo ana husika
moja kwa moja kutokana
na kuaanda kikao
kinyemera katika mtaa huo
na kuhamasisha wananchi
kinyume cha sheria
muhtasari wa kikao tumeukamata una mhuri
wa balozi waeneo
hilo ,Tuna subiri jeshi
la polisi lifanye kazi yake
balozi huyo ni
sawa na muuaji
alisema Kaimu huyo
Majura.
Picha na Habari na Geita yetu Blog
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment