Jumla ya Gramu 3263.72 za dhahabu zenye thamamani ya
waliokamatwa wakiwa na dhahabu hizo wakisafirisha kwa
njia za magendo pia kinyume cha sheria kwa kutumia gari
aina ya Toyota Premio yenye namba za usajili T.739 EEH mali ya
wilaya ya Ilemela Mwanza, Moshi Manzili (26), Mkazi wa Bariadi
saa 5 usiku katika Mtaa wa Kapera Wilayani Bukombe baada
ya Jeshi la Polisi kupata taarifa za siri na kuweka mtego
uliofanikisha kukamatwa kwa watuhumiwa hawa. Baada
ya upekuzi wa gari kufanyika, walikutwa wakiwa na kiasi
nyingine unaendelea kufanyika sambamba na kubaini
na kuwakamata watakaobainika kujihusisha na uhalifu huo
moja kujihusisha na vitendo vya magendo na biashara
haramu kwani halitasita kuchukua hatua kali za kisheria
kwa yeyote atakayebainika kujihusisha na vitendo hivyo.
0 comments:
Post a Comment