Home » » PLAN INTERNATIONAL GEITA YAKABIDHI ZAWADI MBALI MBALI KWA WATOTO WALIOFANYA VIZURI UANDISHI WA BARUA

PLAN INTERNATIONAL GEITA YAKABIDHI ZAWADI MBALI MBALI KWA WATOTO WALIOFANYA VIZURI UANDISHI WA BARUA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Meneja wa Plan Mkoani Geita,Baraka Mgohamwende akimkabidhi Zawadi moja kati ya mtoto aliyefanya vizuri kwenye mashindano ya kuandika Barua.
Mratibu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Ufadhili Plan Geita ,Imani Mgohamwende akielezea juu ya kuwatambua baadhi ya watoto ambao wamefanya vizuri kwenye mashindano ya uandishi wa barua.

Meneja wa Plan Mkoani Geita,Baraka Mgohamwende  akielezea dhumuni la kutoa zawadi kwa washindi.
Moja Kati ya vijana ambao ameshinda uandishi wa Barua akionesha moja kati ya zawadi ambazo amepatiwa na Plan.


Mzee  Shedrack Mashamba akikabidhiwa Chati cha Pongezi kutokana na kujitolea kwenye maswala ya Plan kwenye kata ya Nyang’uku na  Meneja wa Plan Mkoani Geita,Baraka Mgohamwende .

Mzee Juma Maheka akikabidhiwa chati cha utambuzi na   Meneja wa Plan Mkoani Geita,Baraka Mgohamwende .
Picha na Maduka Online.

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Geita Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa