Home » » MAOFISA UGANI WA WILAYA YA BUKOMBE WATAKIWA KUWA NA KUMBUKUMBU ZA KILIMO

MAOFISA UGANI WA WILAYA YA BUKOMBE WATAKIWA KUWA NA KUMBUKUMBU ZA KILIMO

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 


 Mkuu wa wilaya ya Bukombe,. Joseph Maganga (kulia), akizungumza na maofisa Ugani wa Wilaya hiyo kwenye mafunzo ya kilimo cha mazao ya Mihogo,Pambana Viazi lishe yaliyoandaliwa na Tume yaTaifa yaSayansi na Teknolojia(COSTECH) kupitia Jukwaa la Bioteknolojia OFAB. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi wa wilaya hiyo, Zacharia Bwile na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Baraka Maganga

Mshauri wa Jukwaa la Masuala ya Bioteknolojia (OFAB) Dk. Nicholaus Nyange, akitoa mada kuhusu matumizi ya Bioteknolojia ya kilimo.

Maofisa Ugani wakiwa kwenye mafunzo hayo.
Ofisa Kilimo na Umwagiliaji wa wilaya hiyo, Joseph Machibya akizungumza katika mafunzo hayo.
Mratibu wa Jukwaa la Bioteknolojia Tanzania (OFAB), Philbert Nyinondi (kulia), akifuatilia mafunzo hayo. Kutoka kushoto ni Waandishi wa habari zakilimo, Gelard Kitabu na Carvin Gwabara.
Mtafiti wa kilimo kutoka COSTEC, Bestina Daniel akizungumza kwa niaba wa Mkurigenzi Mkuu wa Costech wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo.
Maofisa Ugani wa Wilaya ya Bukombe wakiwa kwenye mafunzo hayo.
Wanahabari wakiwa kwenye mafunzo hayo.

Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Baraka Maganga akizungumza kwenye mafunzo hayo. 
Mtafiti wa Kilimo kutoka Kituo cha Ukiriguru Mwanza, Bakar Chirimi akitoa mada kwenye mafunzo hayo.
Watafiti wa kilimo na maofisa Ugani wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Bukombe, Joseph Maganga.

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Geita Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa