Home » » WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA TAWI JIPYA LA BENKI YA POSTA MJINI SONGEA‏

WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA TAWI JIPYA LA BENKI YA POSTA MJINI SONGEA‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
 Waziri Mkuu, Kassi Majaliwa, (wapili kulia), waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu, (sera, uratibu, na watu wenye ulemavu), Bi. Jenista Mhagama, na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Bw. Sabasaba Moshingi, (wakwanza kushoto) wakikata utepe kuashiria kufunguliwa kwa tawi jipya la benki hiyo mjini Songea leo Januari 4, 2015. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akitazama kadi ya akaunti yake ya Benki ya Posta Tanzania aliyokabidhiwa  baada ya kuifungua alipokuwa akifungua tawi la Benki hiyo la Songea Januari 4, 2016
 Waziri Mkuu akiagana na watuishi wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, baada ya kufungua tawi la benki hiyo mjini Songea Januari 4, 2016. Watatu kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa benki hiyo, Bw. Sabasaba Moshingi, na wapili kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa benki hiyo Bi.Mystica Mapunda Ngongi
Afisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Bw. Sabasaba Moshingi, akimkabidhi zawadi ya saa ya ukutani yenye nembo ya TPB, Waziri Mkuu Kassim majaliwa, baada ya waziri Mkuu  kufungua tawi jipya la benki hiyo mjini Songea leo Januari 4, 2016. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Bw. Said Mwambungu

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Geita Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa