Home » » WATUMISHI WA KADA ZA AFYA NCHINI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA MAADILI NA VIAPO VYA TAALUMA ZAO

WATUMISHI WA KADA ZA AFYA NCHINI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA MAADILI NA VIAPO VYA TAALUMA ZAO

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399

IMG-20160105-WA0026
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akimjulia hali mama aliyejifungua kwenye wodi ya wazazi hospitali teule ya rufaa ya mkoa wa Geita.(Picha Zote na Catherine Sungura WAMJW-GEITA).
IMG-20160105-WA0030
Wauguzi wa wodi ya akinamama katika hospitali teule ya mkoa wa Geita.
IMG-20160105-WA0029
Tabibu wa kituo cha afya Nyankumbu, Abdallah Kiroboto akimsikiliza Waziri Ummy mara alipoingia kwenye chumba cha kutolea huduma, pembeni ni mama aliyefika kituoni hapo na watoto wake kupata matibabu.
IMG-20160105-WA0031
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwlimu akisalimiana na wagonjwa kwenye kituo cha afya Nyankumbu mkoani Geita alipotembelea kituo hicho.
IMG-20160105-WA0028
Wagonjwa waliofika hospitalini hapo wakisubiri huduma kwenye hospitali hiyo.
IMG-20160105-WA0027
Mganga mfawidhi wa hospitali teule ya mkoa wa Geita, Dkt. Adam Sijaona (kushoto) akifafanua jambo kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu mara baada ya kutembelea hospitali hiyo.

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Geita Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa