Home » » NEWS ALART: WATU WATANO WACHOMWA MOTO HADI KUFA HUKO GEITA

NEWS ALART: WATU WATANO WACHOMWA MOTO HADI KUFA HUKO GEITA



Watu watano wameuawa baada ya kupigwa na kisha kuchomwa moto hadi kufa na wananchi wenye hasira kali kwa tuhuma za kuvamia na kuiba kwenye msiba nyumbani kwa mzee John Bulemeja Ibarabara huko Nyantorotoro A, Mkoani Geita.
RPC GEITA, LEONARD PAUL


Taarifa zaidi inakujia

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Geita Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa