Home » » KAMPENI ZA DK MAGUFULI ZATUA MJI MDOGO WA KATORO,GEITA‏

KAMPENI ZA DK MAGUFULI ZATUA MJI MDOGO WA KATORO,GEITA‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi kwa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika Mji Mdogo wa Katoro, Jimbo la Busanda mkoani Geita leo. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 sehemu ya umati wa wananchi katika mkutano huo uliofanyika Mji Mdogo wa Katoro Geita.
 Dk Kinana akihutubia na kuomba wananchi wampigie kura katika Mji wa Runzewe Wilaya ya Bukombe, mkoani Geita leo
 Wengine ilibidi wawe juu ya kuta ili wapate kumona Dk Magufuli wakati wa kampeni katika mji wa Runzewe, Bukombe, Geita
 Umati wa watu katika mkutano wa kampeni Runzewe
 Dk Magufuli akiwapungia wananchi alipokuwa akiingia katika miji ya Buselesele na Katoro
 Msafara ukiingia katika mkutano wa kampeni katika Mji wa KATORO,
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita, Joseph Musukuma akihutubia kabla ya kumkaribisha Dk Magufuli mjini Katoro

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Geita Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa