Home » » ZIARA YA MKUU WA MKOA GEITA WILAYANI MBOGWE AWATAKA WACHE KUFANYA KAZI KWA MAZOEA

ZIARA YA MKUU WA MKOA GEITA WILAYANI MBOGWE AWATAKA WACHE KUFANYA KAZI KWA MAZOEA


 Mkuu wa wilaya ya Bukombe mkoani Geita Amani Mwinyigoha akisoma taarifa ya wilaya ya mbogwe kwa niaba ya mkuu wa wilaya hiyo .
 Baadhi ya watumishi wa Halimashauri ya mbogwe wakisikiliza hotuba ya mkuu wa mkoa wa geita Fatuma mwassa wakati wa kukangua na kuangalia maendeleo ya wilaya yake ambayo ipo katika mkoa wake.
 Mwenye sharti la dalfti muandisi wa maji Daud Amlima akitoa maelenzo juu ya mradi wa maji katika kijiji cha sheda wilayani mbogwe mkoani geita ambapo alifanya ziara ya siku mbili ya kukangua miradi ya maendeleo .

 Katibu wa mradi wa maji wa kijiji cha shenda juma akikabidhi taarifa ya mradi wa maji katika kijiji hicho .
 Katibu wa mradi wa maji juma akisoma taarifa ya mradi wa maji kwa mkuu wa mkoa wa geita Fatuma mwassa wakiti wa ziara yake ya siku mbili wilayani hapo .Kwa picha zaidi bofya soma zaidi
 Hili ndiyo Taki kubwa la maji mkuu wa mkoa wa geita mwenye kitambaa kichwani akiangali taki hilo kwa makini huku ilikiwa na mgongoro wa kuvujishaji wa maji ambapo mkadarasi amepewa siku 28 amepata ripoti hiyo.

 Mama pokea tarifaa hii yetumradi wa maji katika kijiji cha sheda
 Mkuu wa mkoa wa geita mwenye kitambaa kichwani akipata tarifaa za mahabara toka mwalimu jemes
 Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya masumbwe wakitoa maelezo kwa vitedo kwa mkuu wa mkoa wa geita ambaye hayupo pichani.
 Mkuu wa mkoa wa geita Fatuma mwassa akisikilza maelezo kwa wanafunzi ambao hawapo pichani.

 Kaimu mgamga mkuu wa wilaya mbogwe ambaye anaonyesha kidole mbelekatika kituo cha afya masumbwe .
Ukanguzi wa kituo cha afya masunbwe mkuu wa mkoa wa geita mwenye kitamba kichwani . .
Haya mkuu ndiyo majengo yetu hapa hayo ni maneno ya kaimu mganga mkuu wa hospitali ya masumbwe .
Mkuu wa wilaya Bukombe Amani Mwinyigoha akimwambia hali ya ukarabati wa kituo hicho cha afya kwa mkuu wa mkoa geita Fatuma mwassa .
Ukanguzi wa kituo cha afya masumbwe mbele ni mkuu wa mkoa wa geita mwenye kileba kichwani .
Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya wilaya mbogwe wakiangalia ukarabati wa kituo cha Afya cha masumbwe .
Ukanguzi wa majengo ya Afya masumbwe .
Mwenye sharti nyeupe katibu tawala wa mkoa wa geita charles palajo akisikiliza maelenzo toka kwa kaimu mganga mkuu wa hospitali ya wilaya ya mbogwe ambaye amejishika mikono mbele . Picha kwa hisani ya Mohab Matukio

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Geita Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa